Msanii wa filamu nchini, Blandina Chagula maarufu kama Johari amekanusha
kuwa na uhusiano wa kimapenzi na meneja wa Mtanashati Entertainment, Ostaz
Juma. Ostaz Juma na Johari Akizungumza kwenye kipindi cha The Cruise cha
East Africa Radio, Johari alisema kuwa hajawahi kuwa na uhusiano ya
kimapenzi na Ostaz Juma wala Ray.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
THIS BLOG DESIGNED BY
HOME BOYZ GRAPHICS LABORATORY

No comments:
Post a Comment