Wednesday, 3 December 2014

Hatimae Rapper Meek Mill atoka jela kwa masharti

Rapper Meek Mill ambae alikuwa Philadelphia jela tangu mwezi wa saba ametoka jela siku ya leo
Hakimu alimuhuku Meek Millkwenda jela kwa miezi 3 mpaka 6 kwa kosa la kukiuka masharti ya kifungo cha nje, ambapo leo hii ametoka baada ya kukamilisha masharti ya huduma za jamii na program ya
matibabu. haijajulikan ampaka dakika hii program hii itajumuasha vitu gani. Moja kati  ya msharti aliyopewa ni kutokusafiri nje ya Philladelphia mpaka amalize program hiyo kwahiyo tour ataisikia kwenye bomba.

No comments:

THIS BLOG DESIGNED BY

HOME BOYZ GRAPHICS LABORATORY