Friday, 19 December 2014

Mtangazaji Mzuri Kuliko Wote Kutoka Uganda Anayevutiwa Kimapenzi na Rais Uhuru Kenyatta Huyu Hapa.

Doreen Komuhangi 


Mtangazaji Doreen Komuhangi ambae ameingia kwenye list ya watangazaji wazuri nchini  Uganda anayefanya kazi katika kituo cha NBS TV, Mrembo huyo kupitia akaunti yake ya twitter aliandika juu ya kuvutiwa kimapenzi kutokana na ufanyanyi kazi wa Rais Uhuru Kenyatta Kutoka Kenya na aliandika kama ifuatavyo 

 “The way that guy does his things..oh my God, am in love. he is a true Gentleman.” 

Hizi hapa chini ni picha zake mwenyewe mwangalie jinsi alivyo mzuri 


Doreen Komuhangi


Doreen Komuhangi




Doreen Komuhangi

No comments:

THIS BLOG DESIGNED BY

HOME BOYZ GRAPHICS LABORATORY