Saturday 17 September 2016

Picha: Raymond aonyesha mjengo anaoishi

Ndoto ya wasanii wengi ni kupata maisha bora, nyumba mzuri pamoja na magari ya kifahari. Mkali wa wimbo ‘Natafuta Kiki’ Raymond ‘Rayvanny’ ameonyesha mafanikio aliyopata ndani ya muda mfupi.
rayvany
Nyumbani kwa Rayvany WCB
Muimbaji huyo ambaye anajiandaa kwenda kwenye show nchini Burundi akiwa na wasanii wenzake wa WCB, ameonyesha nyumba anayoishi na gari ambalo atalitumia kwa sasa.
“Daaah! eti namimi leo naingia kwangu, kweli Mungu hana upendeleo,” Rayvanny aliandika ujumbe huu instagram katika hiyo picha hapo juu.
Toka Rayvanny ajiunge na WCB, ameshafanya nyimbo mbili, ‘Kwetu’ pamoja na ‘Natafuta Kiki’ ambazo zimpatimia mafanikio makubwa kwa muda mfupi.

No comments:

THIS BLOG DESIGNED BY

HOME BOYZ GRAPHICS LABORATORY