Monday 1 January 2018

Picha: Mhe. Samia akijumuika na Wazee wa CCM kuukaribisha mwaka mpya 2018

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amejumuika na Wazee wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) katika kuukaribisha mwaka mpya wa 2018 kwenye makazi yake yaliyopo Tunguu, Wilaya ya Kati, mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar.

No comments:

THIS BLOG DESIGNED BY

HOME BOYZ GRAPHICS LABORATORY