Thursday 4 January 2018

VIDEO: MSANII UGANDA AMPIGIA MAGOTI SAIDA KAROLI KAFUNGUKA SABABU


Msaanii wa nyimbo za asili nchini Saida Karoli alikuwa ndo msanii pekee kutokea Tanzania aliyepata mualiko katika sherehe ya kufunga Mwaka nchini Uganda ambapo alitoa burudani na wasanii wa nchini humo na miongoni mwa wasanii waliokuwepo kwenye show hiyo ni pamoja na Hanson Baliruno.
Hanson Baliruno ni msanii kutoka Uganda ambaye alimpigia magoti Saida Karoli wakati wa show na kuelezea jinsi anavyo mkubali mkongwe huyo wa nyimbo za asili, Bonyeza PLAY hapa chini kumsikiliza Baliruno akielezea kwanini alimpigia magoti Saida…

Shangwe alilolipata SAIDA KAROLI kwenye kufunga mwaka UGANDA
Balaa la Queen Darleen Maisha Club, Lavalava amepanda peku kwenye stage

No comments:

THIS BLOG DESIGNED BY

HOME BOYZ GRAPHICS LABORATORY